PICHA: JENGO LA GHOROFA 6 LAPOROMOKA MAKERERE UNIVERSITY, LAUA 8 (+Video)

Chuo Kikuu cha Makerere

Shughuli za uokoaji.
Chuo Kikuu cha Makerere
Jengo kabla na baada ya kuporomoka.
Chuo Kikuu cha Makerere
Wananchi wakitaharuki eneo la tukio.
Chuo Kikuu cha Makerere
Kwa mbali ni vumbi kali eneo la tukio.


WATU wapatao 8 wameripotiwa kufariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya jengo la ghorofa sita lililoko karibu na Chuo Kikuu cha Makerere, Kampala nchini Uganda kuporomoka.

Wanafunzi wa Chuo cha Makerere waliongea na EagleOnline kuwa, tukio hilo lilitokea jana Jumatatu April 11 mchana ambapo Jengo hilo la Kyaseka Towers lililopo barabara ya Makerere Hill karibu kabisa na chuo hicho liliporomoka baada ya kuzidiwa urefu kwa kuwa mmiliki wake aliamua kuongeza floor nyingine juu bila kibali kutoka mamlaka za ujenzi.
Previous Post Next Post