
Akizungumza na Lindiyetu.com Mh. Bobali amesema nchi itakua na upungufu wa sukari wa tani laki mbili kuanzia Tarehe 15 mwezi wa 4.
Amesema kuzuia uingizwaji wa Sukari nchini kunaweza leta Matatizo kwani sukari hiyo inaweza kuingizwa kwa njia za Panya na kusababisha kuingizwa sukari isiyo salama kwakuwa haitakuwa imethibitishwa na Mamlaka ya Chakula TFDA.
SIKILIZA SAUTI YA MAHOJIANO NA MWANDISHI WETU
Tags
HABARI ZA KITAIFA