
Nay wa Mitego ameweza kushare nasi Habari hii na kuandika haya kwa Masikitiko makubwa kabisa kwani Tukio hili lilimfanya ashindwe kufika kwenye kipindi hicho na Kutambulisha kazi yake hiyo.

Nimevunjiwa kio Cha gari nikiwa njia naenda kwenye Intrvw Chanel5 EaTv kwa ajili ya kutambulisha my New Video #ShikaAdabuYako sorry Watu wangu mliokua mkisubiri kuona Video Na Intrvw yote nimeshindwa kufika naweka sawa ili. Video itaenda YouTube kesho itakua kwenye Tv yako Pendwa. Muziki sio vita..... I will never stop doing what i do.!!
Tags
HABARI ZA WASANII