YALIYOJIRI UWANJA WA NDEGE WA MWALIMU J.NYERERE WAKATI WA MAPOKEZI YA MBWANA SAMATA

Mbwana Samata.
Mshindi wa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Afrika wa Wachezaji wa Ndani 2015, Mbwana Samata akiwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es Salaam akitokea Abuja, Nigeria katika hafla ya utoaji tuzo kwa mwanamichezo bora.
(Picha na Francis Dande)
Mbwana Samata.
Mchezaji Boara wa Afrika, Mbwana Samata akiwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es Salaam akitokea Abuja, Nigeria. Kulia ni mzee Ali Samataakimlaki mtoto wake.
Mbwana Samata.
Mbwana akiwapungia mkono mashabiki waliofika uwanja wa Ndege kumpokea.
Mbwana Samata.
Mbwana akifurahia tuzo yake.
Mbwana Samata.
Waandishi wa habari wakifanya mahojiano.
Amsha Amsha
Mashabiki waliokuja kumpokea wakicheza kwa furaha.
Amsha Amsha
Ngoma za kila aina zilikuwepo Uwanja wa Ndege wakati wa mapokezi ya Samata.
Mzee Ali Samata
Mzee Ali Samata(Mwenye Tai Nyekundu) akifurahia tuzo aliyopata mtoto wake.
Amsha Amsha
Vikundi mbalimbali vikitumbuiza.
Zitto Kabwe
Mbunge wa Kigoma mjini, Zitto Kabwe akizungumza na waandishi wa habari wakati wa mapokezi ya Mchezji Bora wa Afrika, Mbwana Samata.
Previous Post Next Post