MAENDELEO YA DARAJA LA KIGAMBONI, MUONEKANO WA SASA UKO HIVI

daraja la kigamboni Dar es salaam
Taswira ya daraja la kisasa linalojengwa eneo la Kurasini jijini Dar es Salaam, ambalo litakatisha bahari ya hindi hadi eneo la Kurasini huko Kigamboni.
 
Daraja hilo linalojengwa kwa ubia kati ya serikali na mfuko wa hifadhi ya jamii wa NSSF litakuwa na urefu wa kwenda juu (Vertical) mita zaidi ya 680 wakati urefu mlazo (Horizontal) utakuwa zaidi ya kilomita 2.
 
Daraja hilo la kuning'inia (Cable-stayed bridge) linajengwa na kampuni ya China Railway Jiangchang Engineering (T) Ltd na China Major Bridge Engineering Company kwa gharama ya dola za Kimarekani 136 milioni.
daraja la kigamboni Dar es salaam
 Lilianza kujengwa Februari 2012 na linatarajiwa kumalizika mwaka huu.
Previous Post Next Post