HomeHABARI ZA KITAIFA BREAKING NEWS:: MATOKEO YA UCHAGUZI ZANZIBAR YAFUTWA byNIJUZE -1:55:00 PM 0 Habari zilizotufikia Hivi punde zinahabarisha kwamba Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imefuta Matokeo ya Uchaguzi wa Zanzibar na Kutoa sababu kuwa Haukuwa wa Uhuru na wa Haki. Tags HABARI ZA KITAIFA Facebook Twitter