Mbunge wa Monduli ambaye aliwahi kuwa Waziri mkuu wa Tanzania Edward Lowassa amaeahirisha kuchukua fomu ya kugombea urais kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi hadi siku ya kesho ambayo ni alhamisi.

Hadi sasa mwanasiasa aliyefungua dimba la kuchukua fomu ya urais ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu), Profesa Mark Mwandosya pamoja na Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Stephen Wassira.
Mwanasiasa anayefuata mchana huu ni Amina Salum Ali.
Mwanasiasa anayefuata mchana huu ni Amina Salum Ali.
Tags
HABARI ZA KITAIFA