Habari zilizotufukia kutoka kwa shuhuda wa tukio hilo inasemekana kijana huyo aliingia darasani humo na kwa jinsi alivyovaa hawakuweza kumtambua kama ni mwenzao na walijitahidi kuuliza iliajitambulishe lakini hakuweza fanya Hivyo na ndipo wasi wasi wa uwepo wake darasani humo ulipo zidi kutia mashaka, Hali ya Taharuki ilitokea mara baada ya Mvulana huyo kuonekana anafungua begi lake.
Lakini Mtuhuyo aliweza Kudhibitiwa na Askari wa Chuo na Hivi sasa anashikiliwa kwa mahojiano zaidi:
Hebu Sikiliza Mkasa Mzima Hapa::-
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.