PICHA ZA MIILI YA WATU ILIYOUNGUA KATIKA AJALI YA RUAHA MBUYUNI LEO ASUBUHI, ANGALIZO PICHA ZINATISHA

ajali
Basi la abiria liitwalo Nganga linalofanya safari zake kati ya Iringa na Kilombero mapema leo asubuhi limegongana uso kwa uso na lori aina ya Fuso na kisha magari hayo kuteketea kwa moto maeneo ya milimani kilomita kadhaa kutoka Ruaha Mbuyuni kuelekea Morogoro, Nakusababisha Abiria Kadhaa Kuteketea kwa Moto huo.

ajali

KUONA PICHA ZA BASI HILO LIKIUNGUA MOTO BOFYA HAPA

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post