Unknown Unknown Author
Title: AJALI YA BASI LA ABIRIA NA LORI LA FUSO RUAHA MBUYUNI LEO
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Habari zilizotufikia punde zinasema watu kadhaa ambao idadi yao bado haijafahamika wanasemekana wamepoteza maisha baada ya basi la abiria...
ajali
Habari zilizotufikia punde zinasema watu kadhaa ambao idadi yao bado haijafahamika wanasemekana wamepoteza maisha baada ya basi la abiria liitwalo Nganga linalofanya safari zake kati ya Iringa na Kilombero kugongana uso kwa uso na lori aina ya Fuso na kisha magari hayo kuteketea kwa moto maeneo ya milimani kilomita kadhaa kutoka Ruaha Mbuyuni kuelekea Morogoro, inasemekana abiria wengi walikuwa ni wanafunzi, ajali hiyo imetokea majira ya saa mbili asubuhi leo.
ajaliPichani ni basi hilo la Nganga wakati na bada ya kuteketea kwa moto.
ajali

Tunaendelea kufuatilia taarifa hizi na tutazileta mara zitapopatikana.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top