Ligi kuu Tanzania bara inataraji kuendelea hapo kesho, Vinara wa ligi hiyo timu ya Yanga SC itashuka dimbani majira ya saa 10:00 alasiri kuwakabili JKT RUVU katika dimba la uwanja wa taifa.
Yanga watamkosa mchezaji aliye kwenye fomu kwa sasa Amiss Tambwe ambaye anatumikia adhabu ya kadi 3 za njano!
Bila shaka pengo lake litazibwa na yeyote kati ya hawa kpah sherman,jerryson tegete,hussein Javu ama Danny Mrwanda.
**********************************
Vodacom Premier League continue tomorrow, The top league team SC Yanga joins the match at 10:00 pm confront JKT Ruvu at the national stadium.Yanga will offender player who is in the form currently Amiss Tambwe, who is serving a penalty of 3 yellow cards!
Of course his gap will be covered by any of these kpah Sherman, jerryson Tegete, you ssein Javu or Danny Rwanda.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.