Unknown Unknown Author
Title: UMEIPATA HII YA WEMA SEPETU? BIASHARA YAKE YA MTANDAONI NA BEI YAKE VIKO HAPA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Muigizaji Wema Sepetu amesema mitandao ya kijamii inanafasi kubwa katika maisha yake hasa katika maswala ya utangazaji na kutolea mfano...
Wema Sepetu
Muigizaji Wema Sepetu amesema mitandao ya kijamii inanafasi kubwa katika maisha yake hasa katika maswala ya utangazaji na kutolea mfano mtandao wa Instagram na kusema, umerahisisha kazi kutokana na kutumiwa sana katika matangazo, yeye ameweza kujua maduka mengi na vitu vingi kupitia mtandao huo na endapo mtu akitaka apost kazi yake kwenye page yake ni kama Dola 1000 (elfu moja) au 2000 (elfu mbili) lakini inategemea na makubaliano.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top