Muigizaji Wema Sepetu amesema mitandao ya kijamii inanafasi kubwa katika maisha yake hasa katika maswala ya utangazaji na kutolea mfano mtandao wa Instagram na kusema, umerahisisha kazi kutokana na kutumiwa sana katika matangazo, yeye ameweza kujua maduka mengi na vitu vingi kupitia mtandao huo na endapo mtu akitaka apost kazi yake kwenye page yake ni kama Dola 1000 (elfu moja) au 2000 (elfu mbili) lakini inategemea na makubaliano.
About Author
JE, UNA HABARI, PICHA, TANGAZO, MAKALA NA USHAURI? USISITE KUWASILIANA NASI SIMU / WHATSAPP NAMBA 0625535420.
Advertisement
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.