Unknown Unknown Author
Title: UKATILI:: MWANAFUNZI WA DARASA LA SABA AUWAWA KIKATILI, ANYOFOLEWA KICHWA-KONDOA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Taarifa zilizofika katika dawati letu la Habari zinaeleza kuwa mtoto wa darasa la saba ambaye jinalake halikuweza kufahamika mara moja, a...
Lindiyetu Blog News
Taarifa zilizofika katika dawati letu la Habari zinaeleza kuwa mtoto wa darasa la saba ambaye jinalake halikuweza kufahamika mara moja, ameuwawa kwa kuchinjwa na kuondolewa sehemu ya kichwa chake. Mwanafunzi huyo inasmekana alikua katika harakati za kuchunga mifugo.
Wakatili hao wameondoka na kichwa hicho na baadhi ya viungo. Tukio hilo limetokea Mjini Kondoa.
Maiti

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top