Taarifa zilizofika katika dawati letu la Habari zinaeleza kuwa mtoto wa darasa la saba ambaye jinalake halikuweza kufahamika mara moja, ameuwawa kwa kuchinjwa na kuondolewa sehemu ya kichwa chake. Mwanafunzi huyo inasmekana alikua katika harakati za kuchunga mifugo.
Wakatili hao wameondoka na kichwa hicho na baadhi ya viungo. Tukio hilo limetokea Mjini Kondoa.