KIKOSI CHA SIMBA KILICHOING'OA ZAMALEK MWAKA 2003
Dada wa marehemu aliyejitambulisha kwa jina la Mama Maembe amesema Alex amefariki dunia jana saa 3 asubuhi. Tayari taratibu za mazishi zimeanza kufanywa na imeelezwa Alex atazikwa mjini humo.
Alijulikana kwa ubora wake katika ukabaji na kuichezesha timu. Lakini pia atakumbukwa kwa kuwa mchezaji aliyepiga penalti ya mwisho iliyoivua ubingwa Zamalek na kuipeleka Simba kucheza Kombe la Ligi ya Mabingwa Afrika 2003, hatua ya makundi.
Christopher Alex Massawe enzi za uhai wake
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.