![Nay Wa mitego new video Nay Wa mitego new video](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhlNmSMrCAfWwbehOaRut4HO6udzCqc0Su-byuTF3wLFw-da9zO-g5_LA-oOWHu1e0ato9KN_jRe8uHnq2NZcIJS9xmHJZ53Jqvu68YewbWGkLwA8B29OE9njIG4wUEIsYo0_qPVOH7aC8/s1600/COVER.jpg)
Picha kadhaa zimevuja kwenye mitandao ya kijamii zikumuonyesha msanii huyo akiwa kimahaba na msichana kitandani zikimaanisha kuwa kuna video yake mpya inakuja.
![Nay Wa mitego new video Nay Wa mitego new video](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhST49UapGCCTEclwV1rIYxF_0RO30isgyqwIUXu9DLzEHDun5KoqshqEyHbxmBQs4hOeIN_z3aDCdVANmVsD9hCfs_AoddOJRPuTs1L4zS-dfdIGKK2Z3ETkQme0M3y9gtDFvW56UOwDk/s1600/COVER.jpg)
‘’Yaah hizo picha ni za video yangu mpya ambayo itatoka hivi karibuni na kuhusu kwamba haina maadili mimi sijali na watu hajajua kama video za namna hizo zinalipa kibiashara na lazima twende na wakati mbona video za nje ambazo hazina maadili zinaonyeshwa hapa nyumbani? Alihoji Nay.
![Nay Wa mitego new video Nay Wa mitego new video](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiAGbD-kzOqOFdiy-ZUdk9z1p6xPFjl3HHccmLcHeCeNkL6pvEPbfiiVeL_Y3ZVqYLpzTxx-KLgS6AD7PN0tm7eBJCDyAvvByaYbWm0T8rqI9R76NUWnCKA_xL0IV8egD68LOu0CnOlMac/s1600/COVER.jpg)
Akizungumzia kama BASATA wakiifungia video hiyo wakati ametumia gharama kubwa alisema kuwa hajali kwa lolote ila yeye yuko tayari kwa lolote.
Video hiyo ambayo itatoka hivi karibuni inaitwa ‘only one’.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.