Picha ya mwanamke aliyemwagiwa maji ya moto
Wilaya ya Tarime mwanamke amwagiwa maji ya moto ya kusongea ugali na mumewe kisa kikilipotiwa kuwa alichuma mahindi mawili katika shamba lao bila ruhusa ya mumewe, hivi sasa mwanamke huyo amelazwa katika hospitari ya musoma kwa matibabu na mtuhumiwa ametoweka.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.