TWIT ZA MENEJA WA DIAMOND PLATNUMZ ZALETA UTATA MTANDAONI, UGANGA KWENYE MUZIKI WAHUSISWA

Meneja wa Diamond Platnumz
Meneja wa waziara wa Diamond Platnum, anayefahamika kama Salam amezua utata kwenye mitandao tofauti kwa twit zake kali kuhusu uganga kwenye bongo fleva na kuruka ukuta.

Mashabiki waliotoa mitazamo yao kuhusu twit zake imeonyesha kuwa zinamlenga Ali Kiba na kilichotokea back stage sehemu waliokuwa wamekaa wasanii.

Pia twit nyingine ilizungumzia mashabiki kumsaliti msanii moja baada ya Diamond kurusha pesa.
Post 
Post 
Post
Post

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post