Waziri wa zamani wa Nishati na Madini Prof.Sospeter Muhongo akikabidhi Ofisi kwa Waziri mpya wa Wizara hiyo, George Simbachawene leo Jijini Dar es Salaam.
Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...