Unknown Unknown Author
Title: IRAQ, WATOTO WALEMAVU WANAENDELEA KUTUMIWA KUFANYA MASHAMBULIZI YA KIGAIDI
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Ukiukaji wa haki za watoto unaendelea nchini Iraq, ambako watoto walemavu wanaendelea kutumiwa kufanya mashambulizi ya kigaidi, kwa imani ...
Ukiukaji wa haki za watoto unaendelea nchini Iraq, ambako watoto walemavu wanaendelea kutumiwa kufanya mashambulizi ya kigaidi, kwa imani kuwa wataweza kupona.BOMUKatika ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusu haki za binadamu nchini Iraq, wataalam wa haki za binadamu wameelezea pia kwa kina kuhusu kutumia watoto katika biashara ya ngono na kutengeneza picha na filamu za ngono, pamoja na vitendo vingine katili vinavyowalenga watoto wa kike.
Wataalam walioichangia ripoti hiyo wamesema matatizo mengi ya Iraq yalikuwepo hata kabla ya uvamizi wa kundi la kigaidi linalotaka kuweka dola la Uislamu wenye msimamo mkali, ISIL, mnamo mwaka 2014.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top