
Daladala inayofanya safari zake jijini Arusha ikiwa imeingia katika mtaro baada ya mvua kubwa kunyesha jana katika eneo la sombetini

Wanafunzi wa shule ya msingi sombeti wakiwa katika kibaraza cha duka baada ya mvua kubwa kunyesha katika jana

Hali ilivyo mitaa ya Kiangu Mkoani Mtwara hii ni kutokana na Mvua zilizo nyesha Jana na Leo..

Maeneo korofi kuanzia Eneo la Kimambi Wilaya ya Liwale na Njinjo - Kilwa Hali nddio Ipo hivyo (angalia Picha Juu), Abiria hulazimika Kushuka na Kuanza Kusukuma Gari.

Tags
HABARI ZA KITAIFA