Unknown Unknown Author
Title: HACKERS WA NAMBA YA FAREED KUBANDA (FID Q) NA AMBWENE YESSAYA (AY) AKAMATWA, MCHEKI HAPA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Baada ya msako mkali wa kijana aliye hack namba za simu za wasanii Ay na Fid q, hatimaye polisi wamefanikiwa kumkamata kijana huyu. Ku...
Baada ya msako mkali wa kijana aliye hack namba za simu za wasanii Ay na Fid q, hatimaye polisi wamefanikiwa kumkamata kijana huyu.
Kupitia instagram msanii Fid Q na AY waetufahamisha kuwa kijana aliyekamatwa kwa kosa hilo ni Ahmed na ni mwanafunzi wa mwaka wa pili wa chuo cha Ifm.
A video posted by Fareed Kubanda (@fidq) on

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top