HACKERS WA NAMBA YA FAREED KUBANDA (FID Q) NA AMBWENE YESSAYA (AY) AKAMATWA, MCHEKI HAPA

Baada ya msako mkali wa kijana aliye hack namba za simu za wasanii Ay na Fid q, hatimaye polisi wamefanikiwa kumkamata kijana huyu.
Kupitia instagram msanii Fid Q na AY waetufahamisha kuwa kijana aliyekamatwa kwa kosa hilo ni Ahmed na ni mwanafunzi wa mwaka wa pili wa chuo cha Ifm.
A video posted by Fareed Kubanda (@fidq) on

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post