Unknown Unknown Author
Title: BREAKING NEWS:: VIGOGO WAWILI WA SERIKALI WAFIKISHWA MAHAKAMANI KWA KUPOKEA RUSHWA KATIKA AKAUNTI YA ESCROW
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
HABARI Zilizotufikia hivi punde: Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU nchini imewafikisha mahakamani watuhumiwa wawili kwa t...
LindiYetuBlog News
HABARI Zilizotufikia hivi punde:Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU nchini imewafikisha mahakamani watuhumiwa wawili kwa tuhuma za kupokea rushwa katika Akaunti ya Tegeta Escrow katika mahakama Kisutu jijini Dar es Salaam,

Waliofikishwa mahakamani hii leo ni Teophil John ambaye ni Mhandisi wa Wizara ya Nishati na Madini na Rugonzibwa Teophili ambaye ni Afisa wa Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA).

Endelea kufuatilia habari zetu hapa Kujua kwa kina.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top