Unknown Unknown Author
Title: KIM KARDASHIAN AMPIKU BEYONCE KAMA STAA ALIYETAFUTWA ZAIDI MTANDAONI..!!!
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Kampuni ya Microsoft imetoa orodha ya vitu vilivyotafutwa zaidi mtandaoni mwaka 2014. iPhone 6, Facebook na Kim Kardashian wameongoza oro...
Kim Kardashian
Kampuni ya Microsoft imetoa orodha ya vitu vilivyotafutwa zaidi mtandaoni mwaka 2014. iPhone 6, Facebook na Kim Kardashian wameongoza orodha hiyo.

Kwa upande wa watu waliotafutwa zaidi mwaka huu, Kim ameongoza kwenye top 5 yenye mwanaume mmoja tu.

Beyonce ambaye mwaka jana aliongoza, amekamata nafasi ya pili na kufuatiwa na Miley Cyrus, Katy Perry Justin Bieber.

JE INAWEZEKANA PICHA YAKE YA #BreaktheInternet IKAWA NDIO IMEMPA UMAARUFU? HEBU icheki hapa

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top