Star huyo wa music wa kizazi kipya pia ni footballer Alli Kiba awataja wasanii wa kibongo alio wa inspire katika music huu wa kizazi kipya…
Alio wataja ni Mo Music,Husei Machozi,Timbulo,Sajna,Mirror,Rich Mavoko,mdogo wake Abdu Kiba… na wengine wengi ila akasema siwezi kuwataja wote
Ali Kiba anasema kila msanii ana ID yake ila bado kuna njia wanapita na ukiwafuatilia utajua wana u Alli Kiba ndani yao na walishawahi kumwambia baadhi yao na akawajibu hawakatazwi na akawaruhusu wafanye music kwasababu kitu kizuri huigwa siku zote
Ali Kiba anasema kila msanii ana ID yake ila bado kuna njia wanapita na ukiwafuatilia utajua wana u Alli Kiba ndani yao na walishawahi kumwambia baadhi yao na akawajibu hawakatazwi na akawaruhusu wafanye music kwasababu kitu kizuri huigwa siku zote
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.