
Hapo ikifunguka zitakuja space mbili moja ni ya USERNAME ambapo utaandika jina lako na ya pili ni EMAIL, hapa utajaza email yako then click REGISTER NOW. Utaenda kwa email yako watakuwa wamekutumia password. Utalogin xaxa kwa USERNAME ambayo uliandka mwanzoni (Jina lako) na PASSWORD waliyokutmia katika email.
Hapo you will be safe kuvote. Make sure wanakuandikia THANK YOU FOR YOUR VOTE. BOFYA (http://hiphopworldmagazine.com/theheadies/vote2014/ to vote diamond on #The_Headies awards #BestAfricanArtiste ..)
Tags
HABARI ZA WASANII