TAARIFA MPYA KUHUSU COMMENT ZA ANONYMOUS KATIKA BLOG HII,

Lindiyetu news
Kutokana na Muongozo wa TCRA ambao umetolewa leo kwa bloggers kuhusu wakati huu tunapoelekea kwenye wa Mchakato wa Changuzi mbali mbali, blog hii imeonelea kufunga sehemu ya Comment za watu wasiyojulikana (Anonymous) ili kuepusha comments za uchochezi zinazoandikwa na watu wasioweza kutambulika haraka..
Hivyo basi kuanzia sasa utaweza kutoa comment yako kwa kupitia Facebook Comment Boxambayo ipo chini mwisho wa Habari au Unaweza kujiunga kwa kutumia Email yako ya Google na utaweza kuendelea kukomenti.

Asanteni
Blog Admin

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post