Shetta ni msanii ambaye karibia nyimbo zake zote alizotoa amewashirikisha wasanii mbalimbali wa nyumbani. Alimshirikisha Belle 9 kwenye ‘Nimechokwa’, Rich Mavoko kwenye ‘Sina Imani’, Dully Sykes na Tunda ‘Mdananda’, Linah kwenye ‘Bonge la bwana’ na amemshirikisha Diamond katika nyimbo mbili ‘Nidanganye’ na ‘Kerewa’.
Alipoulizwa kupitia Power Jams ya EA Radio kama ana mpango wa kufanya collabo pia na Ally Kiba, Shetta alijibu, “Sina mpango wa kufanya collabo na Alikiba”.
“nafikiria kuangalia collabo International kwasababu nimeshafanya collabo sana ngini na wasanii wa ndani, nafikiria sasa hivi inatosha..mawili nitoe nyimbo mwenyewe au nifanye na International artist.”
Shetta ameongeza kuwa kabla ya mwaka huu haujaisha atatoa ngoma mpya ambayo amesema kwasasa hawezi kusema kama itakuwa ni ya peke yake au collabo na msanii wa nje.
“nafikiria kuangalia collabo International kwasababu nimeshafanya collabo sana ngini na wasanii wa ndani, nafikiria sasa hivi inatosha..mawili nitoe nyimbo mwenyewe au nifanye na International artist.”
Shetta ameongeza kuwa kabla ya mwaka huu haujaisha atatoa ngoma mpya ambayo amesema kwasasa hawezi kusema kama itakuwa ni ya peke yake au collabo na msanii wa nje.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.