Unknown Unknown Author
Title: MZALIWA WA BURUNDI BERAHINO AITWA KUICHEZEA TIMU YA TAIFA YA UINGEREZA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Mshambuliaji wa klabu ya West Brom ya Uingereza, Saido Berahino ametajwa katika kikosi cha England kwa mara ya kwanza na meneja Roy Ho...
Berahino
Mshambuliaji wa klabu ya West Brom ya Uingereza, Saido Berahino ametajwa katika kikosi cha England kwa mara ya kwanza na meneja Roy Hogson.
Berahino, 21, huenda akacheza mechi dhidi ya Slovenia ya kufuzu Euro 2016 kwenye uwanja wa Wembley Novemba 15.
Berahino, ambaye ni mzaliwa wa Burundi, amepachika mabao saba katika mechi kumi za ligi kuu ya England kwa timu yake ya West Bromwich Albion.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top