Ofisi ya walimu shule ya sekondari Kikanda wilayani Kilwa mkoani Lindi,,Ualimu no wito!!!!!!
Jamii Yangojea serikali!!!! Na hili ni jiko la sekondari Miteja huko Kilwa
Wakati kilwa wakingojea serikali wilayani Nachingwea kukamilisha ujenzi wa
maabara 2 shule ya wasichana Nachingwea kupitia ushirika makato ya zao la
korosho.
(Picha na Abdulaziz lindi)
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.