Wakicheza kwao Old Trafford, Manchester United wameifunga West Ham Bao 2-1 katika Mechi ya Ligi Kuu England na kukwea hadi Nafasi ya 7 lakini watamkosa Nahodha wao Wayne Rooney kwa Mechi 3 zijazo baada ya kutwangwa Kadi Nyekundu.
Hadi Mapumziko Man United walikuwa mbele kwa Bao 2-1 kwa Bao za Nahodha Wayne Rooney, ambae sasa ametimiza Miaka 10 akiwa Old Trafford, baada kuunganisha pande safi la Rafael katika Dakika ya 5 na Robin van Persie kupiga Bao la Pili katika Dakika ya 22 baada ya kazi njema ya Ander Herrera na Radamel Falcao.
West Ham walifunga Goli lao baada ya kutokea kizaazaa kufuatia Kona na Diafra Salho kukwamisha Mpira wavuni katika Dakika ya 37.
Dakika ya 54 Man United walibakia Mtu 10 baada ya Refa Lee Mason kumpa Kadi Nyekundu Nahodha Wayne Rooney kwa madai amemchezea Rafu mbaya Stewart Downing.
Hii inamaanisha Rooney atazikosa Mechi 3 za Timu yake dhidi ya Everton,WBA na Chelsea.
Tukio hilo liliwafanya Man United wamtoe Straika Falcao na kumwingiza Kiungo Darren Fletcher.
![man united win over west ham united man united win over west ham united](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhpHZNWG_fmeODNkPeqs2IqnTe-Wc6sU5YwHxmPzoNPrGCH0-1NKzocZUe3b-0Yip12hBTJbgaWP5CEceaIDIkEooNrVSWErNXtyuFogMkbGomcLMgBMEzbg3t1H6vSYgohRa9apy7yIeA/s1600/man+u+ushindi.jpg)
![man united win over west ham united man united win over west ham united](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEibS31UO6Pjw-4MKRifwuMmuv26cQrK_RWtLoIXjtaga_y2MqS-KlLq0H8dxnIlOg9lvRoMMbLh_KeIU5mMnNGxRWpFwUB0Jy98S10nTLPTjblXlHzwbk1RX77Qpfe25QDK-4SBoRx4_iw/s1600/man+u+ushindi+1.jpg)
Goli alilofunga Wayne Rooney dakika ya 5 yamchezo katika kipindi cha Kwanza.
![man united win over west ham united man united win over west ham united](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhc44g0wrT8m4Cmrvog9RmNoi_qJNmQGUoQNIE5rlT8IHQ9ckbI7rMkRgIET26YYyuDtcDALLqMMTtw1lnjSWqPkuT1elTNKUvtzTNfZ6SoKWDZVQYD_mPOfLj8vC7dtRSey0c3APet1tQ/s1600/man+u+ushindi+2.jpg)
Goli alilofunga Robin Van Persie Mnamo dakika ya 22 ya Mchezo katika kipindi cha Kwanza
West Ham walifunga Goli lao baada ya kutokea kizaazaa kufuatia Kona na Diafra Salho kukwamisha Mpira wavuni katika Dakika ya 37.
![man united win over west ham united man united win over west ham united](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjIBCAAaBC29IXXt6c2bGEDCj5jGeozopMBF2iGGyjfJGFygHnNNB9TGh_kqO4CY3rkEq-kHUwX3vPMcHX6b1_6H4ijAgErM15z3L61XMZkxHrUZOxYz0i_m-HZwTh1nICJ1Z1Tt-8kw58/s1600/man+u+ushindi+3.jpg)
![man united win over west ham united man united win over west ham united](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhDuT2O5QA8K-naf22rT7NYOLkBvipASEGD2EeyCM678tApe5RIXD6uUgF0go_LUdeAqpb2AFv_iK9k7lliPE2wUlqAjq8LXdNX_oWWuSETv7aZ9UXlon_aGEWpwN7hZ4U4uS79wC6YIaw/s1600/man+u+ushindi+4.jpg)
Tukio hilo liliwafanya Man United wamtoe Straika Falcao na kumwingiza Kiungo Darren Fletcher.
![man united win over west ham united man united win over west ham united](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhYVeIPqIWAt5CW7ubU76OoHI_riZ_fFlKFrnUARvEjv5KBls96wrr82vN18fxrsF5TiiIb6S7A90MWVGR2k6U-p-haES-Urai5n7QxLE6M3cmYuNZdMWNIdXpcUuputgiW1yOd20KjKZI/s1600/man+u+ushindi+5.jpg)
Katika Mechi hii, Man United walimchezesha Kinda wa Miaka 19 kutoka Timu ya Rizevu, Paddy McNair kama Sentahafu akishirikiana na Marcos Rojos na Kijana huyo alisimama imara.
VIKOSI: MAN UNITED: De Gea, Rafael, McNair, Rojo, Shaw, Blind, Herrera, Di Maria, Rooney, van Persie, Falcao
Akiba: Lindegaard, Thorpe, Fletcher, A Pereira, Valencia, Mata, Januzaj.
WEST HAM: Adrian, Reid, Cresswell, Tomkins, Downing, Sakho, Demel, Amalfitano, Poyet, Song, Valencia
Akiba: Jaaskelainen, Nolan, Zarate, Vaz Te, Jenkinson, Collins, Cole
REFA: Lee Mason
LIGI KUU ENGLAND::MSIMAMO
Akiba: Lindegaard, Thorpe, Fletcher, A Pereira, Valencia, Mata, Januzaj.
WEST HAM: Adrian, Reid, Cresswell, Tomkins, Downing, Sakho, Demel, Amalfitano, Poyet, Song, Valencia
Akiba: Jaaskelainen, Nolan, Zarate, Vaz Te, Jenkinson, Collins, Cole
REFA: Lee Mason
MATOKEO: **Saa za Bongo ***Jumamosi Septemba 27
Liverpool 1 Everton 1
Chelsea 3 Aston Villa 0
Crystal Palace 2 Leicester 0
Hull 2 Man City 4
Man United 2 West Ham 1
Southampton 2 QPR 1
Sunderland 0 Swansea 0
1930 Arsenal v Tottenham
Chelsea 3 Aston Villa 0
Crystal Palace 2 Leicester 0
Hull 2 Man City 4
Man United 2 West Ham 1
Southampton 2 QPR 1
Sunderland 0 Swansea 0
1930 Arsenal v Tottenham
BPL-LIGI KUU ENGLAND
RATIBA: **Saa za Bongo** Jumapili Septemba 28
1800 West Brom v Burnley
Jumatatu Septemba 29
2200 Stoke v Newcastle
RATIBA: **Saa za Bongo** Jumapili Septemba 28
1800 West Brom v Burnley
Jumatatu Septemba 29
2200 Stoke v Newcastle
LIGI KUU ENGLAND::MSIMAMO
NA
|
TIMU
|
P
|
GD
|
PTS
|
1
|
Chelsea
|
6
|
12
|
16
|
2
|
Southampton
|
6
|
7
|
13
|
3
|
Man City
|
6
|
5
|
11
|
4
|
Swansea
|
6
|
2
|
10
|
5
|
Aston Villa
|
6
|
-3
|
10
|
6
|
Arsenal
|
5
|
4
|
9
|
7
|
Man United
|
6
|
2
|
8
|
8
|
Crystal Palace
|
6
|
0
|
8
|
9
|
Leicester
|
6
|
-1
|
8
|
10
|
Tottenham
|
5
|
1
|
7
|
11
|
West Ham
|
6
|
0
|
7
|
12
|
Liverpool
|
6
|
-1
|
7
|
13
|
Everton
|
6
|
-2
|
6
|
14
|
Hull
|
6
|
-2
|
6
|
15
|
Sunderland
|
6
|
-1
|
5
|
16
|
Stoke
|
5
|
-1
|
5
|
17
|
West Brom
|
5
|
-4
|
5
|
18
|
QPR
|
6
|
-9
|
4
|
19
|
Burnley
|
5
|
-3
|
3
|
20
|
Newcastle
|
5
|
-6
|
3
|
Source:: Soka In Bongo
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.