Unknown Unknown Author
Title: JOSE CHAMELEONE AZIKONGA NYOYO ZA MASHABIKI WA DAR ES SALAAM, CHEKI PICHA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Msanii wa Uganda, Jose Chameleone jana alizikonga nyoyo za wapenzi wa muziki jijini Dar es Salaam kwa show yake kali iliyofanyika kwenye...
Jose Chameleone
Msanii wa Uganda, Jose Chameleone jana alizikonga nyoyo za wapenzi wa muziki jijini Dar es Salaam kwa show yake kali iliyofanyika kwenye ukumbi wa New Maisha Club. Katika show hiyo, Chameleone alisindikizwa na wasanii wengine wakiwemo Vanessa Mdee, Mirror, Ferouz na Professor. Watu kibao walijitokeza kushuhudia show hiyo na hizi ni picha zake.
Vanessa Mdee
Vanessa Mdee akiwa na dancers wake wakitumbuiza
Vanessa alipiga show nzuri sana
Jose Chameleone


Jose Chameleone alivyopanda jukwaani
Jose Chameleone

Jose Chameleone akicheza pamoja na mashabiki aliowapandisha jukwaani
Barnaba Classic
Barnaba alikuja kuangalia show ya Jose Chameleone
T.I.D na Jose Chameleone
TID Mnyama alipanda stejini na kumpa sapoti Jose Chameleone
T.I.D na Jose Chameleone
TID alipanda ghafla stejini nakuanza kucheza na kusalimia mashabiki alipata shangwe za kutosha
Jose Chameleone
Jose Chameleone mizuka ilipanda akaamua kushuka stejini na kuwafuata mashabiki nakuanza kucheza nao
Jose Chameleone
Jose Chameleone akiimba na shabiki na kucheza naye
Ferouz na Jose Chameleone
Jose Chameleone na Ferouz wakiimba pamoja
Proffesor Jay na Jose Chameleone
Professor Jay alivyopanda stejini alipata shangwe za kutosha, hapa akimpa hug Jose Chameleone
Mirror
Mirror naye alikuwepo kumoa kampani Chameleone
Watu walikuwa wengi
Watu walijitokeza kwa wingi sana

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top