SUAREZ AADHIBIWA, MECHI TISA NJE YA UWANJA.....

suarez
Habari za hivi punde zinasema kuwa FIFA imemuadhibu Suarez kwa kumfungia mechi tisa na miezi 4 za kuto jihusisha na shughuli za mpira wa miguu na kulipa faini ya franc laki moja.
Je unadhani adhabu hiyo ni stahili yake?

1 Comments

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post