Unknown Unknown Author
Title: MJEDA ALA KICHAPO HEAVY KUTOKA KWA WANAUSALAMA BARABARANI, CHEKI HAPA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Askari wa Usalama barabarani eneo la Makumbusho, Dar wakimpiga Dereva wa gari ambaye amejitambulisha kama mwanajeshi! Tukio hili limetoke...
Askari wa Usalama barabarani eneo la Makumbusho, Dar wakimpiga Dereva wa gari ambaye amejitambulisha kama mwanajeshi! Tukio hili limetokea mida ya saa 9 mchana huu. Bado haieleweki chanzo ni nini.Je, unadhani hivi ndivyo askari wetu wanatakiwa kutekeleza majukumu yao?

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top