MAJANGAA...JIONEE MADHARA YA MVUA ZA LEO HUKO MWENGE NA MAGOMENI DAR....

Askari wa usalama barabarani akitimiza jukumu lake eneo korofi la shimo linalosababisha misululu Magomeni.
Shimo hili limesababisha magari kupata pancha maeneo ya Mwenge.
Huu ndiyo muonekano halisi wa namna magari yanavyokwepa shimo hili maeneo ya Magomeni.
Si bodaboda wala gari inayoweza kupita eneo hili la Magomeni, lililojaa maji kwa kuhofia ajali.
Waenda kwa miguu maeneo ya Magomeni wakikwepa shimo lililochimbika katikati ya barabara.

(Picha zote na Gabriel Ng’osha/GPL)

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post