HAKUNAGA KAMA DIAMOND PLATNUMZ:: AITIKISA MANISPAA YA MTWARA KWA BONGE LA SHOW, CHEKI PICHA

Diamond Platnumz Jana alikinukisha pande za Manispaa yaMtwara kwa Bonge la show ambayo imeandika Historia Mpya kwa Mkoa huo kwa kuwa na watu wengi kuliko Show zote zilizowahi kufanyiika Mkoani Humo, Msanii huyo aliongozana na Mpenzi wake Wema Isack Sepetu. Show hiyo Ilifanyika Makonde Beach.









 NEY WA MTWARA AKIIMBA MUZIKI GANI NA DIAMOND PLATNUMZ

DJ BWEGE KWENYE MOJA NA MBILI

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post