DIAMOND PLATNUMZ AFUNGUKA MAZITO...KUMBE ALIBIKIRIWA MKOANI MTWARA...CHEKI NA VIDEO HII

Msanii wa Kizazi kipya Heatmaker wa song ya My number one Diamond Platnumz hivi karibuni amefunguka mengi wakati akifanya mahojiano na Kituo cha Radio Mkoani Mtwara wakati alipokuwa na Show yake iliyopewa jina la "Heals and Ties" huku akifuatana na Mpenzi wake Wema Sepetu Msanii wa Filamu hapa Nchini Tanzania.

Waweza Bofya Play hapo Chini Kucheki nini alichokisema sitaki kumaliza Uhondo wote hapa hapa:

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post