Unknown Unknown Author
Title: CLUB YA REAL MADRID BADO GHALI ZAIDI DUNIANI, MANCHESTER UNITED YA KWANZA KWA ENGLAND
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Klabu ya Real Madrid bado imeendelea kung'ang'ania kileleni katika orodha ya vilabu vyenye thamani zaidi duniani(Most Valuable Fo...
Klabu ya Real Madrid bado imeendelea kung'ang'ania kileleni katika orodha ya vilabu vyenye thamani zaidi duniani(Most Valuable Football Clubs) kwa mujibu wa jarida la Forbes.

Katika orodha hiyo klabu ya Manchester United imeendelea kuwa juu ya vilabu vya England licha ya kufanya vibaya msimu huu.

Manchester United imeshuka thamani kwa 11% tangu ilipomuajiri David Moyes kama kocha wake mkuu.Chini ya Moyes Manchester United imepata hasara ya £181.5m,huku majirani zao Manchester City wao wamepanda thamani kwa 25%......

Orodha kamili iko kama ifuatavyo:

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top