Klabu ya Real Madrid bado imeendelea kung'ang'ania kileleni katika orodha ya
vilabu vyenye thamani zaidi duniani(Most Valuable Football Clubs) kwa mujibu wa
jarida la Forbes.
Katika orodha hiyo klabu ya Manchester United
imeendelea kuwa juu ya vilabu vya England licha ya kufanya vibaya msimu
huu.
Manchester United imeshuka thamani kwa 11% tangu ilipomuajiri David
Moyes kama kocha wake mkuu.Chini ya Moyes Manchester United imepata hasara ya
£181.5m,huku majirani zao Manchester City wao wamepanda thamani kwa
25%......
Orodha kamili iko kama ifuatavyo:
Home
»
SPORTS NEWS
» CLUB YA REAL MADRID BADO GHALI ZAIDI DUNIANI, MANCHESTER UNITED YA KWANZA KWA ENGLAND
About Author
JE, UNA HABARI, PICHA, TANGAZO, MAKALA NA USHAURI? USISITE KUWASILIANA NASI SIMU / WHATSAPP NAMBA 0625535420.
Advertisement
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.