tazama video hio hapo chini kuona jinsi gari lilivyo uwa watu zaidi ya watatu nakufinyanga watoto kama udongo. Hii ni kutokana na Tabia za wwananchi/watazamaji kukaa pembezoni mwa Barabara hizo wakati mashindani hayo yakiendelea.
Nadhani hii itakuwa fundisho kwa Wananchi na waandaaji wa Mashindano haya kuhakikisha Usalama wa watu hawa wakati wote wa Mashindano hayo. Kama pangekuwa na Kizuizi cha Kuzuia watu, Ajali hii na Vifo hivi vinge epukika.
TAHADHARI PICHA ZINATISHA
Watu wanapopewa tahadhari wawe wanafata na sio kupuuzia iyo itasaidia kukuza michezo yetu tuipendayo ya magar na sio kupigwa marufuku.
ReplyDelete