Ni siku ambayo Wananchi wa Mtwara wameamua kuiteua kama siku ya kukumbuka wale waliopoteza maisha kwenye sekeseke la Gesi mkoani Mtwara, ingawa haijawa rasmi lakini asilimia kubwa ya mkoa wa Mtwara huduma zimesitishwa ikiwemo daladala zinazotoka na kuingia katikati ya mji huo, maduka na baadhi ya huduma kama za sokoni.
STAND KUU YA MABASI YA MTWARA LEO..HAKUNA MABASI YANAYOTOA HUDUMA NA MADUKA YAMEFUNGWA WANAOMBOLEZA WALIOPOTEZA MAISHA KWENYE VURUGU ZA GESI MWAKA JANA.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.