Lagos, Nigeria. Memba wa kundi la Psquare, Paul Okoye ameonyesha mfano wa kuigwa kwa akina baba wengine baada kushea picha na mashabiki kwenye ukurasa wake wa Instagram akiwa anakula bata na mkewe Anita pamoja na mtoto wao ‘Andre’ kwenye bwawa moja la kuogelea. Paul na Anita walifunga ndoa ya kimila machi 22 mwaka huui .
MCHEKI PAUL WA PSQUARE AKIJIACHIA NA FAMILIA YAKE
Title: MCHEKI PAUL WA PSQUARE AKIJIACHIA NA FAMILIA YAKE
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Lagos, Nigeria. Memba wa kundi la Psquare, Paul Okoye ameonyesha mfano wa kuigwa kwa akina baba wengine baada kushea picha na mashabiki kwe...
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.