KUMBE LULU MICHAEL ANAPACHA WAKE AMBAO WAMEFANANA SANA...!!!! TAZAMA HAPA

Ma super stars wenye majina makubwa kuliko umri wao , Lulu Michael na Faiza haider wamejikuta waki share Birthdays zao mwezi mmoja, Siku moja na tarehe moja yaan 16/4. Wawili ambao ambao licha ya Ku share birthdays zao unaambiwa wamefanana karibia kila kitu , mavazi yao, mionekano yao hata umri pia haipishani sana.
Lulu Michael ambaye amejipatia umaarufu kupitia fani ya uigizaji , Faiza haider naye amejipatia umaarufu huo kupitia utangazaji ambao hata lulu naye alianzia uko, hata wenyewe pia wanajiita mapacha uko mitaani..

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post