ICE CUBE AWA-DISS MTV KWA KUMPA TUZO PAUL WALKER BAADA YA KUKUTWA NA MAUTI, SOMA HAPA

Rapper wa siku nyingi ambaye pia ni muigizaji Ice Cube ameonesha kutoridhishwa na ushindi aliopewa muigizaji wa Fast & Furious marehemu Paul Walker, katika tuzo za ‘MTV Movie Award’ katika kipengele walichopangwa pamoja cha ‘Best Onscreen Duo’.
ICE CUBE
Paul Walker na Vin Diesel ndio walitajwa washindi wa kipengele hicho katika tuzo hizo zilizotolewa April 13 kitu ambacho Ice Cube hakukifurahia.
Katika mahojiano aliyofanyiwa na USA Today, Ice Cube alisema:
“We had the best chemistry of everybody nominated, for us not to win was crazy, They should have gave it to him before he passed away.”
Hata hivyo baada ya habari hiyo kuandikwa na mitandao mbalimbali na mashabiki wa Paul Walker kumshambulia, Ice Cube alizungumza kupitia twitter:
“I would never diss the actors who won. Not even Paul Walker. Seriously people! [Regarding] The sympathy vote: We should honor people before they die. That’s all. Shame on you [...] reporters.”

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post