ASKARI TRAFIKI APIGWA MKWALA KWA KUVAA NGUO ZINAZOBANA

Askari wa usalama barabani nchini Kenya Linda Okelo akiwa katika vazi linalobana.

Askari wa usalama barabani nchini Kenya Linda Okelo amejikuta akiwa kwenye wakati mgumu mara baada ya kupigwa picha akiwa amevaa vazi la kipolisi lisiloendana na maadili ya kipolisi.


Trafik huyo wa kituo cha polisi cha Kiambu amepewa onyo kali na Kamanda wa kaunta mara baada ya kuziona picha za trafiki huyo katika mitandao ya kijamii nchini Kenya.Picha hizo ambazo zinamuonesha akiwa katika vazi linalobana makalio yake.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post