Upande mmoja wa jengo hilo.
Linavyoonekana kwa mbele.
Linavyoonekana kwa mbali.
JENGO la ghorofa tano linalojengwa pembezoni mwa barabara ya kwenda Tandale Sokoni maeneo ya Manzese limepigwa marufuku na mamlaka husika kuendelea kujengwa kutokana na kuonekana limepinda.
-GPL
Tags
HABARI ZA KITAIFA