UJENZI WA GHOROFA WAPIGWA "STOP" BAADA YA GHOROFA HILO KUPINDA

clip_image002Upande mmoja wa jengo hilo.clip_image002[7]Linavyoonekana kwa mbele.clip_image002[9]Linavyoonekana kwa mbali.

JENGO la ghorofa tano linalojengwa pembezoni mwa barabara ya kwenda Tandale Sokoni maeneo ya Manzese limepigwa marufuku na mamlaka husika kuendelea kujengwa kutokana na kuonekana limepinda.

-GPL

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post