Chama cha soka mkoani Mtwara MTWAREFA kimesema kuwa timu ya Ndanda Fc inatarajia kurejea mkoa Mtwara siku ya ijumaa kwa ndege ya ATC ambapo taratibu za kuipokea zinatarajiwa kutolewa kesho baada ya kikao cha kamati tendaji saa nne asubuhi.
Chama cha soka Mtwara kimeunda kamati mbili kwa ajiri ya mapokezi kamati ya maandalizi na kamati ya mapokezi ambayo ni mapombo na burudani kamati itadili chakula na malazi kamati ya mapambo na burudani usafiri uwanja na music hii msemaji wa chama cha mpra wa miguu mkoa mtwara
Chama cha soka Mtwara kimeunda kamati mbili kwa ajiri ya mapokezi kamati ya maandalizi na kamati ya mapokezi ambayo ni mapombo na burudani kamati itadili chakula na malazi kamati ya mapambo na burudani usafiri uwanja na music hii msemaji wa chama cha mpra wa miguu mkoa mtwara
Afisa habari na Mawasiliano
Chama cha soka Mkoni Mtwara MTWAREFA
Marino kawishe. 0713 984439.
Tags
SPORTS NEWS