TAARIFA YA MAPOKEZI YA NDANDA FC MKOANI MTWARA

clip_image001Afisa habari na mawasiliano wa MTWAREFA ndugu Marino Kawishe
Chama cha soka mkoani Mtwara MTWAREFA kimesema kuwa timu ya Ndanda Fc inatarajia kurejea mkoa Mtwara siku ya ijumaa kwa ndege ya ATC ambapo taratibu za kuipokea zinatarajiwa kutolewa kesho baada ya kikao cha kamati tendaji saa nne asubuhi.
Chama cha soka Mtwara kimeunda kamati mbili kwa ajiri ya mapokezi kamati ya maandalizi na kamati ya mapokezi ambayo ni mapombo na burudani kamati itadili chakula na malazi kamati ya mapambo na burudani usafiri uwanja na music hii msemaji wa chama cha mpra wa miguu mkoa mtwara

Afisa habari na Mawasiliano

Chama cha soka Mkoni Mtwara MTWAREFA

Marino kawishe. 0713 984439.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post