Msanii wa Miondoko ya Bongo fleva ajulikanaye kwajina la Recho naye leo hii kupitia ukurasa wake wa Instagram ameweka wazi Tatoo zake alizozichora mwilini mwake.
Waweza Jionea mwenyewe hapa chini:
Aliweza kumtambulisha Mchoraji wa Tatoo hizo kwa kuweka Picha yake pia katuka Ukurasa huo so kama nawewe wapenda waweza Mfollow na kuweza Kuchorwa..
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.