Timu hiyo ya Ndanda Fc imepata Ushindi wa Magoli 2 – 1 katika mchezo huo uliochezwa leo uwanja wa Karume jijini dar es salaam Huku magoli ya Ndanda Fc yakifungwa na Amri Msumi Matokeo hayo ni faraja kwa wakazi wa Mkoa wa Mtwara ambao walikuwa wakiomba Timu yao ya Ndanda Fc iweze kushinda na Kupanda daraja na Kuweza kucheza Ligi kuu Tanzania Bara kwa Msimu ujao na Dua zao zimekubalika kwani Matokeo ya Africa Lyon na Green Wories imeifanya Timu ya Ndanda kuibuka Kidedea.
Hongereni Ndanda Fc
Tags
SPORTS NEWS