MUONEKANO WA MSANII ROSE NDAUKA KWA SASA, PICHA ZIKO HAPA

clip_image001Huu  ni  Muonekano  mpya  wa  Msanii  Rose  Ndauka  ikiwa  ni  miezi  kadhaa  tu  tangu  ajifungue...Bado  ni  mrembo  na  yuko  HOT  kama  zamani...clip_image001[7]Hili  ni  somo  tosha  kwa  wasanii  wa  kike  wenye  tabia  ya  kuchomoa  mimba  zao  kwa  kisingizio  cha  kupoteza  mvuto  baada  ya  kujifungua.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post