MREMBO MKALI WA BONGO MOVIE AZIDI KUTILIA MKAZO SWALA LA MCHUMBA ANAYEMTAKA!!! SOMA ZAIDI HAPA INAWEZA KUWA BAHATI YAKO

MTOTO mzuri kwenye kilinge cha Bongo Movies, Irene Paul amefunguka kuwa kwenye suala la uhusiano, hana kipingamizi sana kwani anachoangalia ni mtu anayempenda haijalishi dini wala kabila.

clip_image001Irene Paul.

Akizungumza na paparazi wetu hivi karibuni jijini Dar, Irene alisema licha ya kuwa bado hajamuanika mpenzi wake lakini suala la dini, kabila kwake siyo ishu ya msingi zaidi anaangalia mapenzi ya dhati.

“Naangalia tu, mtu anayenipenda ananipenda kweli au anaigiza? Nikigundua ananipenda kweli, nampenda pia. Hata aweje huyo ndiye atakayekuwa wangu wa maisha,” alisema Irene.

SOURCE : GPL

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post