HUYO NDIO TOP IN DAR, AJIACHIA NA TOTOZ ZA LINDI, CHEZEA LINDI WEWE…..NI NOUMER!!!!

tid mnyamaaaT.I.D Akiwa na fans wake katika mkoa wa lindi alipopiga show ya nguvu ndani ya club moja maarufu mjini hapa aliamua kutokelezea na fans wake hao kama ionekanavyo kwenye picha hapo juu na chini. hiyo ilikuwa kabla ya show wakaona ni vyema kushow love na Mnyamaaaaaa……!!!!!!tid mnyamaaa.2

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post